Monday, April 17, 2017

AFISA MAZINGIRA AMALIZA UTAFITI WA MAZINGIRA KOROGWE MJI



                      Submitted on April 16, 2017 Institute of Adult Education

Friday, April 14, 2017

AFISA MALIASILI NA MAZINGIRA ASISITIZA NI MARUFUKU KUSAFIRISHA MAZAO YA MISITU USIKU





Imenilazimu kupiga simu polisi baada ya kuona zigo hili la mkaa linataka kusafirishwa usiku muda ambao hautakiwi kusafirisha mazao ya misitu.

MWANASHERIA WA KOROGWE MJI ASISITIZA UZINGATIAJI WA SHERIA - BIASHARA YA MAZAO YA MISITU TANGA - TANZANIA






Mkaa huu unao safirishwa toka Handeni kuelekea Dar es Salaam, umekamatwa kwenye Geti la Bagamoyo Korogwe Mji na baada ya kugoma kulipa ushuru kwa ujazo unaokubalika kisheria yaani ujazo wa debe sita sawa na gunia moja, ili walazimu kufikishana kwa wakala wa misitu TFs na baadae kwa Mwanasheria wa Mji, nae Afisa Maliasili wa Mji Korogwe alikuwa anafuatia kwa karibu sebeni hilo.

Tuesday, April 4, 2017

SALAMU KWENU WANA MKUTANO

                                      Kikao cha Familia Dar es Salaam

KIKAO CHA MUHIMU DAR ES SALAAM

                                               Dr. Juma Lungo