Friday, February 10, 2017

UZINDUZI WA MAZOEZI YA VIUNGO WILAYA YA KOROGWE



Mkuu wa wilaya Korogwe azindua rasmi mazoezi ya viungo ya kila mwezi ambayo yatakuwa kila jumamosi ya Pili ya Mwezi, Korogwe tunafanya Mazoezi ya viungo kwa watumishi wote wa Mji Korogwe.

No comments: