Tukiwa katika picha ya pamoja na Mhifadhi wa Nilo na Msimamizi wetu wa Mafunzo kwa vitendo.
Thursday, January 31, 2013
Tuesday, January 29, 2013
Monday, January 28, 2013
UKUMBI WA MAMBA CLUB KOROGWE MJINI
Karibu Ukumbi wa Mamba Club uliopo Korogwe Mjini. Mmiliki wa ukumbi huu ni Mh. Mbunge wa Korogwe Vijijni a.k.a Profesa Maji Marefu. Ukumbi huu ni moja ya kivutio cha utalii kwani shughuli za kijamii kama vile Harusi, mikutano, dance na sherehe mbalimbali huwa zinafanyika hapa kwenye ukumbi huu.
SAFARI YA DAR ES SALAAM
Mr. Lungo nikiwa ndani ya basi kuelekea Dar es Salaam kuhudhulia Mkutano wa Mkurabita. Mimi ni Mratibu wa Mkurabita kutoka Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Mkoa wa Tanga.
Friday, January 25, 2013
DEADLINE JUMATATU
Mr. Lungo nikiwa tayari nimeshamaliza kuandaa blogu yangu ulipita msamaha wa rais kwa ambao hawajamliza mpaka Jumatatu tarehe 28.01.2013.Thanks to Mr.Mhode unasikilza shida za wanafunzi wako.That is why we like U!.
Mr. Lungo atafakari juu ya kuiendeleza Blog yake muhimu.
Wednesday, January 23, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)