Saturday, August 19, 2017

KARIBU KOROGWE MJI

Ulizia Idara  ya Usafi na Mazingira, Kitengo cha Maliasili na Utalii, Hifadhi ya Mazingira, Tathmini ya Athari za Mazingira (ESIA), Afya ya Mazingira, Mipango ya Mazingira na Utafiti na Utawala wa Mazingira . Utapatahuduma zote za Masuala ya Mazingira, Maliasili na Utalii endelevu ( Eco - tourism ).

Tuesday, August 1, 2017

MNARA WA KUMBUKUMBU YA UKOMBOZI WA MSUMBIJI - CHAMA CHA FRELIMO OFISI YAKE, KOROGWE MJI, TANGA - TANZANIA


Alama ya Mkuki na ngao imehifadhiwa kwa usalama zaidi ila huwa inakuwepo kwa usalama wa historia hii muhimu ya Nchi ya Msumbiji na Chama cha FRELIMO.