Saturday, December 31, 2016

USAFI WA MAZINGIRA NI ZOEZI ENDELEVU


                Tukiendelea na ufuatiliaji wa usafi wa mazingira mtaa wa mbeza kata ya Manundu - Korogwe Mji. Leo tarehe 31.12. 2016

Thursday, December 15, 2016

MHITIMU WA SEKOMU, 2013

                                 Mungu muweza wa yote nilimaliza salama chuo kikuu SEKOMU mwaka husika, kweli mungu ndie mpamgaji wa yote.

MHIFADHI MAZINGIRA - KOROGWE MJI, 2015



                              Mhifadhi wetu aliiwakilisha Halmashauri yetu na kurudi na Cheti cha Mazingira kwa mara ya kwanza kwa historia ya kuanzishwa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Kitaifa Mkoani Tanga mwaka 2015.

Thursday, December 1, 2016

MISITU YETU NI MALI

                      Mkaa ni muhimu uangaliwe upya na mbadala wake upatikane.