Saturday, December 31, 2016
USAFI WA MAZINGIRA NI ZOEZI ENDELEVU
Tukiendelea na ufuatiliaji wa usafi wa mazingira mtaa wa mbeza kata ya Manundu - Korogwe Mji. Leo tarehe 31.12. 2016
Thursday, December 15, 2016
MHITIMU WA SEKOMU, 2013
Mungu muweza wa yote nilimaliza salama chuo kikuu SEKOMU mwaka husika, kweli mungu ndie mpamgaji wa yote.
MHIFADHI MAZINGIRA - KOROGWE MJI, 2015
Mhifadhi wetu aliiwakilisha Halmashauri yetu na kurudi na Cheti cha Mazingira kwa mara ya kwanza kwa historia ya kuanzishwa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Kitaifa Mkoani Tanga mwaka 2015.
Thursday, December 1, 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)