Thursday, July 28, 2016
SAFARI YA KWAMKONO
Husna Athumani Ally Mbaruku Mwikalo aenda kwenye arobaini ya shangazi yake Kwamkono - Handeni. Nijambo jema kuungana na ndugu wa pande zote ilikushirikiana kijamii zaidi. Nauli ni Tsh 3,000 x 2 = 6,000/=. Gari inaondoka Standi ya Korogwe Mjini kila siku saa 6.30 Mchana. Tarehe 26/07/2016.
Thursday, July 21, 2016
ASASI YA HIFADHI MAZINGIRA NA UKIMWI YA SHIRIKI SIKU YA UPANDAJI MITI
Timu ya Asasi ya Uhifadhi Mazingira na Elimu ya Ukimwi (HIMEU) wameungangana na watumishi wa Idara za Halmashauri kupanda Miti siku ya Upandaji Miti.
Friday, July 1, 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)