Thursday, July 28, 2016

KARIBU TUSOME NICE NURSERY SCHOOL


Anasoma mzeee wetu Haruna Mkulago mwaka 2016

SAFARI YA KWAMKONO

Husna Athumani Ally Mbaruku Mwikalo aenda kwenye arobaini ya shangazi yake Kwamkono - Handeni. Nijambo jema kuungana na ndugu wa pande zote ilikushirikiana kijamii zaidi. Nauli ni Tsh 3,000 x 2 = 6,000/=. Gari inaondoka Standi ya Korogwe Mjini kila siku saa 6.30 Mchana. Tarehe 26/07/2016.

Thursday, July 21, 2016

ASASI YA HIFADHI MAZINGIRA NA UKIMWI YA SHIRIKI SIKU YA UPANDAJI MITI

Timu ya Asasi ya Uhifadhi Mazingira na Elimu ya Ukimwi (HIMEU) wameungangana na watumishi wa Idara za Halmashauri kupanda Miti siku ya Upandaji Miti.

Friday, July 1, 2016