Saturday, December 31, 2016

USAFI WA MAZINGIRA NI ZOEZI ENDELEVU


                Tukiendelea na ufuatiliaji wa usafi wa mazingira mtaa wa mbeza kata ya Manundu - Korogwe Mji. Leo tarehe 31.12. 2016

Thursday, December 15, 2016

MHITIMU WA SEKOMU, 2013

                                 Mungu muweza wa yote nilimaliza salama chuo kikuu SEKOMU mwaka husika, kweli mungu ndie mpamgaji wa yote.

MHIFADHI MAZINGIRA - KOROGWE MJI, 2015



                              Mhifadhi wetu aliiwakilisha Halmashauri yetu na kurudi na Cheti cha Mazingira kwa mara ya kwanza kwa historia ya kuanzishwa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Kitaifa Mkoani Tanga mwaka 2015.

Thursday, December 1, 2016

MISITU YETU NI MALI

                      Mkaa ni muhimu uangaliwe upya na mbadala wake upatikane.

Sunday, November 27, 2016

Saturday, November 26, 2016

MIMI BALOZI WA USALAMA BARABARANI








SHEREHE ZA UZINDUZI WA KAMPENI ZA ABIRIA PAZA SAUTI, Katika Stand ya Ubungo Basi Terminal Dar es Salaama - TANZANIA.

MABALOZI WA USALAMA BARABARANI, ABIRIA PAZA SAUTI



MSANII TUNDA MANI AKUTANA NA MR. LUNGO, UBUNGO TERMINAL

Tuesday, November 22, 2016

MZAA CHEMA NA MAMBO YA MSINGI

                                          Uvumilivu ni ngao ya maisha

WANAMAMBEGA MAISHA NA UVUMILIVU



Wanamambega na maisha na uvumilivu wake nimiongoni mwamchango wake kwa familia hii ya Julay 2003.

Friday, November 18, 2016

MBADALA WA MIFUKO YA RAMBO

Mchezaji Luiz Figo akabidhiwa zawadi ndani ya kifungashio maridhawa kabisa kwa Uhifadhi wa Mazingira.

Wednesday, September 21, 2016

ASSESSMENT OF TEACHING PRACTICE AT SHEMSANGA SECONDARY SCHOOL

Mungu ni Mwema hatimae Jana tarehe 20/09/2016. Nilipata Mgeni kutoka chuo cha Taasisi ya elimu ya watu wazima Bi Salome Tondi, alifika kuja kunikagua zoezi langu la field ya Diploma ya Ualimu. Nilipata taarifa ya ujio wake tarehe 18/09/2016 siku ya juma pili jioni, sifa za pekee kwake Mwl. Zuberi Bakari wa Shemsanga Secondary School na wanafunzi wake wa Form Four 2016 wa Geography !!!

Monday, August 1, 2016

Thursday, July 28, 2016

KARIBU TUSOME NICE NURSERY SCHOOL


Anasoma mzeee wetu Haruna Mkulago mwaka 2016

SAFARI YA KWAMKONO

Husna Athumani Ally Mbaruku Mwikalo aenda kwenye arobaini ya shangazi yake Kwamkono - Handeni. Nijambo jema kuungana na ndugu wa pande zote ilikushirikiana kijamii zaidi. Nauli ni Tsh 3,000 x 2 = 6,000/=. Gari inaondoka Standi ya Korogwe Mjini kila siku saa 6.30 Mchana. Tarehe 26/07/2016.

Thursday, July 21, 2016

ASASI YA HIFADHI MAZINGIRA NA UKIMWI YA SHIRIKI SIKU YA UPANDAJI MITI

Timu ya Asasi ya Uhifadhi Mazingira na Elimu ya Ukimwi (HIMEU) wameungangana na watumishi wa Idara za Halmashauri kupanda Miti siku ya Upandaji Miti.

Friday, July 1, 2016

Tuesday, June 7, 2016

MAZINGIRA DUNIANI 2016





                                            Siku ya Mazingira Duniani

Sunday, May 15, 2016

WATER ECOLOGY CONSERVATION



Mh. Lungo azungumza na wanamazingira siku ya ufunguzi wa Kampeni za Mazingira